Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Rongo

Rongo.

Rongo ni mji wa Kenya katika Kaunti ya Migori, haya ndiyo maeneo ya watu wa Kamagambo. Rongo ni mji ambao umenawiri kwa ukulima wa miwa.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 82,066[1].

Tanbihi

  1. Sensa ya Kenya 2009 Ilihifadhiwa 9 Januari 2019 kwenye Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.
Kembali kehalaman sebelumnya