Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Mto Loasi

Mto Loasi ni mmojawapo kati ya mito ya mkoa wa Rukwa (Tanzania Magharibi).

Maji yake yanaelekea Ziwa Tanganyika, mto Kongo na hatimaye Bahari ya Atlantiki.

Tanbihi

Viungo vya nje

Tazama pia

Kembali kehalaman sebelumnya