Dini rasmi ni dini ambayo imetangazwa na nchi fulani kuwa yake kwa namna ya pekee. Kiasi ambacho dini hiyo inapata sapoti ya sheria, serikali n.k. inategemea kwa kawaida katiba ya nchi.
Si lazima serikali iwe chini ya mamlaka ya dini hiyo, wala kufuata masharti yake yote, wala kwamba uongozi wa dini uwe chini ya serikali au kwamba serikali iwe chini ya viongozi wa dini.
Mpaka leo tunasikia habari za nchi zinazotoa kipaumbele kwa dini au madhehebu fulani upande wa serikali. Kule Uingerezamfalme au malkia anapaswa kuwa Mkristo wa Kianglikana naye ni mlezi mkuu wa Kanisa la Kianglikana. Kule Denmark na Sweden wafalme wanapaswa kuwa Wakristo wa Kilutheri. Katika nchi nyingi za WaarabuRais awe Mwislamu wa madhehebu ya Sunni. Kule Iran Rais huchaguliwa kati ya wataalamu Waislamu wa madhehebu ya Shia. Taratibu hizo ni mabaki ya utaratibu ambao miaka 200 iliyopita ulikuwa kawaida katika sehemu nyingi za dunia.
↑"Vatican City". Catholic-Pages.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-09-04. Iliwekwa mnamo 12 Agosti 2013.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
↑"Constitution of the Republic of Peru"(PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo(PDF) mnamo 2015-07-24. Iliwekwa mnamo 2014-12-21. Within an independent and autonomous system, the State recognizes the Catholic Church as an important element in the historical, cultural, and moral formation of Peru and lends it its cooperation. The State respects other denominations and may establish forms of collaboration with them.{{cite web}}: CS1 maint: postscript (link)
↑"The Constitution of the Republic of Polandi". 1997-04-02. The relations between the Republic of Polandi and the Roman Catholic Church shall be determined by international treaty concluded with the Holy See, and by statute. The relations between the Republic of Polandi and other churches and religious organizations shall be determined by statutes adopted pursuant to agreements concluded between their appropriate representatives and the Council of Ministers.{{cite web}}: CS1 maint: postscript (link)
↑"Spanish Constitution"(PDF). The public authorities shall take into account the religious beliefs of Spanish society and shall consequently maintain appropriate cooperation relations with the Catholic Church and other confessions.{{cite web}}: CS1 maint: postscript (link)
↑Offisielt frå statsrådet 27. mai 2016 regjeringen.no «Sanksjon av Stortingets vedtak 18. mai 2016 til lov om endringer i kirkeloven (omdanning av Den norske kirke til eget rettssubjekt m.m.)
Lovvedtak 56 (2015-2016) Lov nr. 17 Delt ikraftsetting av lov 27. mai 2016 om endringer i kirkeloven (omdanning av Den norske kirke til eget rettssubjekt m.m.). Loven trer i kraft fra 1. januar 2017 med unntak av romertall I § 3 nr. 8 første og fjerde ledd, § 3 nr. 10 annet punktum og § 5 femte ledd, som trer i kraft 1. juli 2016.»
Rowlands, John Henry Lewis (1989). Church, State, and Society, 1827-1845: the Attitudes of John Keble, Richard Hurrell Froude, and John Henry Newman. Worthing, Eng.: P. Smith [of] Churchman Publishing; Folkestone, Eng.: distr. ... by Bailey Book Distribution. ISBN 1-85093-132-1
Viungo vya nje
McConnell, Michael W. (Aprili 2003). "Establishment and Disestablishment at the Founding, Part I: Establishment of Religion". William and Mary Law Review, provided by Questia.com. 44 (5): 2105. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-12-01. Iliwekwa mnamo 2006-11-23. {{cite journal}}: Cite has empty unknown parameters: |quotes= na |coauthors= (help); Unknown parameter |dead-url= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link) CS1 maint: postscript (link)
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.