Neno hilo lina asili ya Kibantu. Kiswahili kina neno lingine kwa maana hiyohiyo, nalo lina asili ya Kiarabu: hamsa. Siku hizi halitumiki sana, lakini kutoka kwake limepatikana hamsini (hamsa mara kumi) ambalo ni la kawaida.
Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Tano kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.