Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Msaada

Maskini akiomba Msaada
UNHCR wakitoa Msaada Kenya

Msaada ni huduma au faraja anayopewa mtu anapokuwa na shida au tatizo kama vile ajali, matatizo ya kifamilia, msongo wa mawazo n.k.

Binadamu wote wanahitaji msaada katika maisha yao, hasa mwanzoni na mwishoni. Hivyo ni muhimu kujenga tabia ya kuwa tayari kuutoa na kuupokea vilevile.

Kembali kehalaman sebelumnya