Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Mlima Loleza

Mlima Loleza ni jina la mlima mmojawapo wa milima ya Mbeya, katika Mkoa wa Mbeya kusini mwa Tanzania.

Una urefu wa mita 2,656 juu ya usawa wa bahari.

Tazama pia

Kembali kehalaman sebelumnya