Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Menongue

Menongue ni mji uliopo kusini mashariki mwa nchi ya Angola katika mkoa wa Cuando Cubango. Ndio makao makuu ya mkoa huo.

Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 320,914[1].

Tazama pia

Marejeo

Makala hii kuhusu maeneo ya Angola bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Menongue kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Kembali kehalaman sebelumnya