Share to: share facebook share twitter share wa share telegram print page

Khalifa Mohammed Issa

Khalifa Mohammed Issa (amezaliwa 24 Novemba 1959) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Civic United Front (CUF). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mtambwe kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Kembali kehalaman sebelumnya