Eneo bunge la Kuresoi Kaskazini ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya, moja kati ya majimbo kumi na moja ya Kaunti ya Nakuru.
Marejeo
| Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Eneo bunge la Kuresoi Kaskazini kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |